AJTC NEWS

Monday, October 14, 2013

Simulizi kutoka kwa mdogo wa Ufoo Saro " Aliyemuua mama wa Ufoo Saro Alipanga kuua Familia Nzima"

Kwa mujibu wa mdogo wake na mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha ITV, Ufoo Saro aitwaye Goodluck aliyekuwepo wakati wa tukio la mauaji lililotokea asubuhi ya jana, ambapo mchumba wa Ufoo alimuua mama yake mtangazaji huyo, na pia yeye kujeruhiwa kabla ya mtu huyo aitwaye Anthery Mushi kujiua pia.
0L7C0700
“Tulisikia sauti ya risasi sebuleni…na hapo mama akawa anatuita anasema njooni hapa nakufa, tulipotoka nje tukakuta na dada nae ndo yuko chini, akatuambia rudini ndani anataka kutuua wote hawa, ndo tukarudi ndani. Baada ya kurudi ndani ndo akaanza kupiga risasi milangoni na madirishani akawa anasema tokeni nje nataka niwauwe,” Goodluck alikiambia kituo cha radio cha Times FM.
“Na sisi tukakimbia tukapanda juu dalini baada ya.........

Sunday, October 13, 2013

TUKIO KATIKA PICHA:MASKINI UFOO SARO AFANYIWA UPASUAJI WA KUONDOLEWA RISASI MWILINI APELEKWA WODI 12 YA KIBASILA.

 Ufoo Saro baada ya kufanyiwa upasuaji huo.
 Muuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akimpeleka wodini Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufo Saro,  baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuondolewa risasi kufuatia kushambuliwa kwa silaha ya moto nyumbani kwa mama yake  Kibamba jijini Dar es Salaam leo na