Akizungumza na ajtc radio Bi Eunicee Julius ambaye ni mmoja kati ya waathirika wa tatizo hilo amsema kuwa uchsfu huo umekuwa ni kero kutokana na utupaji taka ovyo na kusababisha kuwpo kwa magonjwa ya milipuko kama kipindupindu,kuhara na kutapika
Aidha Bi Eunice ameendelea kusema uchafuzi wa mazingira ni hatari hasa kwa wakazi waishio katika eneo hilo kutokana naile hali ya kutupa taka ovyo bila kujali afya zao
Pamoja na hayo Bi Eunice ameongezea kwa kusema kuwepo kwa utaratibu mzuri wa utupaji taka ili kuweza kuepuka magonjwa yanayozuilika kwa wakazi wa eneo hilo
Hata hivyo mwenyekiti wa eneo hilo Bw Lucas John amesema tatizo hilo liko mbioni kutatuliwa hivyo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu ili kuwekwe utaratibu mzuri wa utupaji taka hizo
No comments:
Post a Comment