| Muimbaji wa nyimbo za injili Godwill Linus akiwa na mastedi shoo wake akiimba wimbo wake wa sitochoka kungoja katika uzinduzi wa albamu yake iliyofanyika ijumaa katika ukumbi wa (AJTC) |
Akizungumza na blog ya
ajtc hot amesema kila mwanafunzi
anatakiwa kuzingatia kipaji
alichonacho kwani ni njia mojawapo ya................
kujiingizia
kipato nje na taaluma walizonazo.
Albam hiyo iliyobeba nyimbo nane za muziki wa injili ikiwemo
sitochoka kungoja ikiwa ndiyo nyimbo iliyobeba jina la albam ambayo ni albamu
yake ya kwanza kuizindua
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa ni bwana Andrea Ngobole ambaye ni mkufunzi wa chuo
hicho,akiambatana na wakufunzi wengine pamoja na wageni waalikwa mbali na
wanafunzi wa chuo hicho
| Mtoto Miriam akiwa anaimba na kucheza wimbo wa injili katika uzinduzi wa albamu ya sitochoka kungoja |
No comments:
Post a Comment