Akizungumza na blog ya ajtc hot mmoja wa wanafunzi hao bwana Amani James ambaye ni muhitimu wa ngazi ya stashahada ya uandishi wa habari na utangazaji ameyasema hayo katika...........
tafrija fupi iliyoandaliwa na darasa la katavi ambayo ilifanyika katika hotel ya tanzanite iliyopo USA RIVER kwa lengo la kuagana na wanafunzi wenzao
Tafrija hiyo ilifanyika agust 24 na kuudhuriwa na wanafunzi wa madarasa mbalimbali ikiwemo darasa la tanganyika,natroni,kilimanjaro na mengineyo ambapo walikula na kucheza pamoja ikiwa ni sehumu ya burudani
Pamoja na hayo darasa hilo la katavi limekuwa ni darasa ambalo likifanya vizuri kitaaluma na katika shughuli za kivitendo na pia wamekuwa mstari wa mbele katika kujitolea katika shughuli mbalimbali chuoni hapo
No comments:
Post a Comment