Ikiwa tunazo rasimali nyingi lakini tatizo la ajira bado
halijapatiwa ufumbuzi na kuwafanya vijana wengi nchini kuishi bila hajira
yoyote ile
Blog ya Ajtc Hot ilibainisha tatizo hili kwa kuona baadhi ya
wengi wakiishi bila ya ajira na hatimaye kujiingiza katika...........
makundi mabaya na
kutenda maovu ikiwepo ubakaji na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Hata hivyo blog ya Ajtc Hot imebaini kuwa chanzo kikubwa cha
ukosefu wa ajira kwa vijana ni kutojishughulisha kwao kwa kutafuta namna ya
kujiajiri wao wenyewe na baadala yake wanategemea kuajiriwa.
Hata hivyo serikali bado inachangamoto ya kutoa
elimu ya ujasiriamali kwa vijana ili kuongeza fursa ya ajira kwa vijana nchini.

No comments:
Post a Comment