JE UNAFAHAMU KABILA LA WAHAYA NA TAMADUNI ZAO
Kabila la wahaya ni kabila lilopo mkoani Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania. kabila hili lipo kandokando mwa ziwa Victoria lugha yao ni kihaya kabila hili ndo kubwa mkoani Kagera kutokana na sensa iliyofanyika siku za hivi karibuni.
Yupo mmoja ambae ni mwanamziki wa kihaya ambaye katika nyimbo zake zina vionjo vingi vya kabila la kihaya japo kwa sasa ameporomoka kwa muda naye ni SAIDA KAROLI.
kwa kujua zaidi tembelea blog hii ili uweze kujua mengi zaidi kuhusiana na wahaya.
No comments:
Post a Comment