KILIMANJARO
Vitendo vya uchawi na ushirikina vimeshamiri katika kijiji cha kitandu kata ya kibosho mkoani kilimanjaro
Haya yamesemwa na diwani wa kata hiyo bwana moris kimati amesema uchawi umekuwa kikwazo cha maendeleo katika kijij hicho
Watu wengi wa kijiji hicho wamepoteza maisha kwa ajili ya uchawi hali inayochangi wanakijiji hao kushindwa kufanya kitu chochote cha maendeleo
Amesema wanakijiji hao wameogopa kujenga hata nyumba nzuri katika viwanja vyao kwa kuhofia kupoteza maisha
Wakazi wa kijiji hicho wamelazimika kuhama katika maeneo yao na kutafuta maeneo mengine hivyo wameshauliwa kuachana na vitendo hivyo ili waweze kupata maendeleo katika kijiji chao
No comments:
Post a Comment